RIDHIWANI KIKWETE LEO ASHINDA KURA ZA MAONI..!! MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE

clip_image003Habari zilizotufikia hivi punde leo CCM imefanyika kura za maoni kati ya wagombea watatu wa ubunge wa jimbo la chalinze kati ya Ramadhani Maneno, Imani Madega na Ridhiwani ambapo

Ridiwani Kikwete ameibuka mshindi kwa kura 758, akifuatiwa na Imani Madega akiwa na kura 335 na Ramadhani Maneno Kura 206 huku Mkwanzu akipata kura 12.

Jumla ya Kura zilikuwa 1321 zilizopigwa Kura 5 ziliharibika Hivyo kufanya Kura halali kubakia 1316...

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post