Siku ya Leo imekuwa ni siku ya pekee kwa sababu ya Mvua kunyesha Kutwa Nzima nakufanya Shughuli za Kijamii kudhorota kabisa kwani wananchi hawakuweza kufanya shughuli zao za kawaida kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha maeneo Mengi ya MJi wa Lindi, Picha hii imechukuliwa na Paparazi wetu eneo la Kijiji cha Mingoyo Kilichopo Manispaa ya Lindi.
Lakini kutokana na halihiyo wapo ambao hawakujali hali hiyo na waliweza kuendelea na shughuli zao kama Mdada huyu alivyonaswa na Mwandishi wetu akielekea Mwalon kuchuu za samaki huku Mvua ikiendelea Kunyesha.Watoto wakicheza kwenye Mvua
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.