Haijajulikana Podolski alipataje hizi picha ila huyu hapa chini ni Mtanzania alievaa jezi ya staa huyu wa Arsenal ambapo hiki kitendo kimemfanya Podolski kumsifia huyu shabiki kwamba jezi imemtoa freshi na kuitakia kila la kheri Tanzania.Hiyo hapo juu ni kwenye instagram ambapo picha hiihii pia aliipeleka kwenye page yake ya twitter kama inavyoonekana hapa chini.Asante sana kwa mtu wangu wa nguvu, kwenye twitter @1960Remija amekua ripota wa nguvu kwa kunistua kuhusu hii stori.
Imetoka: mirradayo.com
Home
»
SPORTS NEWS
» KUMBE KUVAA JEZI ZA MASTAA KUNAWEZA KUKUTOA…CHEKI ALICHOKIFANYA LUCAS PODOLSKI WA ARSENAL
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.