Bila kusahau Kila Ijumaa ndani ya Makonde Royal Night Club ni siku ya Wanachuo, Kiingilio Kwa wale wanachuo ni Kitambulisho Chako Tu na kwa wadau wa kawaida ni Buku 5 mlangoni, Kumbuka Vinywaji vitauzwa bei ya kawaida Kabisa siku hiyo. Kazi ni Kwako wewe Mpenda Burudani Njoo Uburudike na Makonde Royal Night Club Mtwara.
Tags
HABARI ZA WASANII