SHULE YA SEKONDARY KINENG’ENE YAPOKEA MSAADA WA MAABARA INAYOTEMBEA KUTOKA NSSF

kineng'ene. 13Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Lindi Imekabidhi Maabara mbili kwa Manispaa ya Lindi kama msaada kwa Shule ya Sekondari ya Kining’ene iliyopo nje kidogo ya Mji wa Lindi.kineng'ene. 14Maabara hizo zimekabidhiwa na Mkurugenzi wa Shirika tawi la Lindi kama Ionekanavyo Pichani. kineng'ene. 11Mkurugenzi wa Shirika hilo akitoa nasaha kwa Wanafunzi wa Shule hiyo ya Sekondari ya Kineng’ene mara baada ya Kukabidhi Meza Mbili za Maabara inayotembea na Kuwasisitiza kuwa watunzaji na kujisomea kwa kunguvu zote kwani sasa hawana tatizo la vifaa katika masomo hayo ya sayansi na waalimu wanao wa kutosha.kineng'ene. 7Mwalimu akisoma risala mbele ya Mgeni rasmi katika Hafla fupi ya kupokea Meza mbili za Maabara inayotembea kutoka Shirika la Hifadhi ya Taifa (NSSF) Lindi.kineng'ene. 6Wanafunzi wa Sekondari ya Kineng’ene wakishangilia mara baada ya kuambiwa wameletewa vifaa vya Maabara katika shule yao na Kuwafanya kujisomea masomo ya Sayansi kwa Vitendo, msaada huo kutoka kwa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF LINDI)kineng'eneHii ni moja ya Meza mojawapo kati ya Mbili zilizotolewa kama msaada katika shule hiyo ya sekondari ya Kineng’ene na NSSF kineng'ene. 4

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post