KUWA WA KWANZA KUISIKILIZA NYIMBO MPYA KUTOKA KWA RAPPER D-KNOB “NISHIKE MKONO”

clip_image001Ni muda mrefu umepita bila kusikia kazi mpya kutoka kwa D-Knob, wala habari zake kutokana na ukimya wake wa muda mrefu, lakini sasa hatimaye rapper huyo wa ‘Elimu ya Mitaani’ amevunja ukimya huo kwa kutoa single mpya aliyomshirikisha Mwasiti.
Single hiyo inayoitwa ‘Nishike Mkono’ imefanywa na Producer Villy Pata uhondo kwa kubofya kitufe cha Play kusikiliza

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post