Ilikuwa patashika nguo chanika katika sherehe ya Harusi ya Alex na
Flora iliyofungwa katika kanisa la KKKT Mjini lindi na sherehe zake
kufanyika katika ukumbi wa lindi Beach.Bwana Harusi ni Fundi mkuu wa kampuni ya Uniglobex ya mjini lindi huku
Bi Harusi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la polisi Mkoani Lindi kitengo cha
Usalama barabarani
Sote kwa pamoja Tunawaombea Dua katika maisha yao Mapya ya Ndoakwa hisani ya Abdulaziz Video Rec Ya Mjini Lindi
Tags
HABARI ZA KITAIFA