Unknown Unknown Author
Title: BARABARA YA NDANDA, MASASI MKOANI MTWARA YAWA KERO LEO HII KUTOKANA NA KUHARIBIKA VIBAYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wakazi wa kijiji hicho pamoja na Abiria wanaosafiri kwenda Newala, Masasi, Nachingwea, Nanyumbu na Tunduru wakiwa wamesimama bila kujua cha...
masasiWakazi wa kijiji hicho pamoja na Abiria wanaosafiri kwenda Newala, Masasi, Nachingwea, Nanyumbu na Tunduru wakiwa wamesimama bila kujua cha kufanya wakati magari yakiwa yamekwama.masasi.1Magari yakipishana kwa shida katika eneo hilo la Kijiji cha Mkalapa,Mkoani Mtwara kutokana na kuharibika kwa barabara hiyo.
*******
Na Abdulaziz ,Masasi.
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa, limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini, kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
masasi.2Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS), wanapaswa kulishughulikia swala hili haraka iwezekanavyo ili kuwaepusha watumiaji wa barabara hiyo kuondokana na hadha hii inayowaathiri wasafiri waendao Newala, Masasi, Nachingwea, Nanyumbu na Tunduru.


About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top