Unknown Unknown Author
Title: MJUE MSHIRIKI WA MAISHA PLUS 2014 KUTOKA LINDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kwajina anaitwa Mohamedi Selemani Lipemba kama jina la Passport yake ya kusafiria lakini Jina Maarufu ni Kibanga Mkoloni (Nafsi 16). Ni msh...
MOHAMEDI SELEMAN MAISHA PLUSKwajina anaitwa Mohamedi Selemani Lipemba kama jina la Passport yake ya kusafiria lakini Jina Maarufu ni Kibanga Mkoloni (Nafsi 16). Ni mshiriki wa maisha Plus Kutoka Lindi kwa mwaka 2014. Mzaliwa wa Lindi.MOHAMEDI SELEMAN MAISHA PLUS.2Ameweza kupita katika Mchujo wa watu zaidi 4000 na kufanikiwa kuwepo katika wale 40 bora watakao kuwepo katika usaili wa kwanza wa Maisha Plus 2014.MOHAMEDI SELEMAN MAISHA PLUS.4Mshiriki wa Maisha Plus 2014 Kutoka Lindi akiwa na Meneja wake Ndugu Abdallah Mohamedi (Dullah Kibajaji)
Anatarajia kuondoka kuelekea katika Usaili huo wa Mwisho hivyo anaomba Ushauri Mbalimbali kutoka Kwenu ilikumjenga kuweza kushiriki vizuri na kuweza kuibuka mshindi katika Shindano hilo linalotarajia kuanza hivi karibuni.
MOHAMEDI SELEMAN MAISHA PLUS.3Unaweza Kumpata kwa Mawasiliano yafuatayo: Namba ya Simu ya mkononi +255 714 131018 au +255 783 284281.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top