Wagosi kwenye interview na MrInfo, wamesema hawajarudi kwenye game sababu ya kampeni za uchaguzi iliwapate show ila ndio wakati wa kuendeleza walipoachia miaka 8 nyuma.
Kuhusu tofauti kati yao Mkoloni anasema Wagosi Wakaya ni familia na hawawezi kuwa na tofauti za kudumu, wameyamaliza.
Tags
MUSIC NEWS