DOWNLOAD NEW AUDIO TRACK:: "BAO" BY WAGOSI WA KAYA

Wagosi Wa Kaya wamevunja ukimya baada ya miaka 8 bila kuwa na wimbo wao pamoja,

Wagosi kwenye interview na MrInfo, wamesema hawajarudi kwenye game sababu ya kampeni za uchaguzi iliwapate show ila ndio wakati wa kuendeleza walipoachia miaka 8 nyuma.
Kuhusu tofauti kati yao Mkoloni anasema Wagosi Wakaya ni familia na hawawezi kuwa na tofauti za kudumu, wameyamaliza. 

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post