USITHUBUTU KUNASWA NA CAMERA YETU:: LORI LA MIZIGO NA ABIRIA

clip_image001Mdau Pius Micky ametuletea taswira hii kutoka huko Sumbawanga Mkoani Rukwa, inayoonyesha Lori likiwa limepakia abiria pamoja na mizigo ya watu wanaodhaniwa kuwa ni wafanyabiashara wa Minadani. Taswira hii imenaswa jana katika barabara kuu itokayo Sumbawanga mpaka Tunduma Mkoani Mbeya.

JE BARA BARA HII HAINA ASKARI WA BARARANI? AU NDIO TUNARUDI ZAMA ZILEEEEE……!!!! SERIKALI IKO WAPI?

MAAFA YAKITOKEA NANI WA KULAUMIWA?

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post