UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI KUCHELEWA, SABABU ZATAJWA

clip_image001Ujenzi wa daraja la Kigamboni hautokamilika kama ilivyotarajiwa Januari 2015 na badala yake utakamilika Julai 2015 kufuatia mikondo ya maji kukutwa chini ya miamba iliyotarajiwa kusimamishwa nguzo za daraja hilo na kulazimisha mkandarasi kuongeza urefu wa nguzo kutoka mita 64 hadi 84.
Hizi ni Baadhi ya picha za ujenzi wa daraja la Kigamboni unaoendelea hivi sasa:clip_image001[6]
clip_image001[8]
clip_image001[12]
clip_image001[10]

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post