Hatimae Msanii Diamond Ameweka Mambo sawa na vituo hivyo na sasa tayari nyimbo zake zimeanza kuskika kupitia Radio Magi Fm Ya Dar Es Salaam Inayopatikani mikoa mingi mingine Ya Tanzania pia kupitia Satellite Nchi nzima.
Kutaka Kujua zaidi endelea kuskiliza Magic Fm Na Kutazama Channel Ten Ambayo pia sasa inapatikana kupitia DSTV channel 292 kusikia mahojiano na diamond hivi karibuni katika vipindi tofauto tofauti.
Tags
HABARI ZA WASANII