FLETCHER ANENA KUWA ‘HATUNA MCHECHETO NA CHELSEA!’, ANDERSON KUONDOKA OT…

KIUNGO wa Manchester United, Darren Fletcher, amesema Timu yao hainachochote cha kuogopa kwa tripu ya Jumapili huko Stamford Bridge kuivaa Chelsea kwenye Mechi ya Ligi Kuu England.clip_image002Man United watatua Stamford Bridge wakiwa wametoka kwenye vichapo vitatu mfululizo tangu Mwaka mpya uanze na kisha kuichapa Swansea City Uwanjani Old Trafford katika Mechi yao ya mwisho ya Ligi.

Tofauti na wao, Chelsea wanapaa katika mbio za Ubingwa Msimu huu wakiwa wamekusanya Pointi 25 kati ya 30 katika Mechi zao 10 za mwisho za Ligi.

Muhimu zaidi kwa Chelsea ni ile Rekodi ya Jose Mourinho ya kutofungwa Uwanjani Stamford Bridge kwenye Ligi katika himaya zake zote mbili akiwa na Chelsea, ile ya Mwaka 2004 hadi 2007, na hii ya mara ya Pili.

Hata hivyo, Darren Fletcher, baada kurudi kwa kishindo Uwanjani kufuatia kupona kwake ugonjwa wa Tumbo uliomweka nje Mwaka mzima, amesisitiza Timu yao haina mchecheto na Mechi hiyo.

Ametamka: “Hapana, hata kidogo, sisi tunatarajiwa kushinda kila Mechi na haijali ni Swansea Nyumbani au Chelsea Ugenini. Ni maafa tusiposhinda!”

WAKATI HUO HUO, zipo taarifa kuwa Kiungo wa Man United kutoka Brazil, Anderson, yupo njiani kwenda Italy kupimwa afya na Klabu ya Fiorentina ili kuhamia huko ingawa pia inadaiwa ni kwa Mkopo.clip_image003Anderson amedumu Old Trafford kwa Miaka 6 na Nusu na kucheza karibu Mechi 100 za Ligi.

Kuondoka huku kwa Anderson ni dalili kuwa David Moyes anakaribia kumsaini Kiungo mwingine ingawa hamna uthibitisho wowote.

RATIBA: LIGI KUU ENGLAND

Jumamosi Januari 18

Jumapili Januari 19

SAA

TIMU ZINAZOCHEZA

SAA

TIMU ZINAZOCHEZA

1545

 Sunderland v Southampton

1630

Swansea v Tottenham

1800

Arsenal v Fulham

1900

Chelsea v Man United

1800

Crystal Palace v Stoke

 

1800

Man City v Cardiff

Jumatatu Januari 20

1800

Norwich v Hull

SAA

TIMU ZINAZOCHEZA

1800

West Ham v Newcastle

2300

West Brom v Everton

2030

 Liverpool v Aston Villa

 

 

       

Jumanne Januari 28

Jumatano Januari 29

SAA

TIMU ZINAZOCHEZA

SAA

TIMU ZINAZOCHEZA

2245

Man Utd v Cardiff

2245

Aston Villa v West Brom

2245

 Norwich v Newcastle

2245

Chelsea v West Ham

2245

Southampton v Arsenal

2245

Sunderland v Stoke

2245

Swansea v Fulham

2245

Tottenham v Man City

2300

Crystal Palace v Hull

 

 

2300

Liverpool v Everton

 

 

MSIMAMO:

NA

TIMU

P

GD

PTS

1

Arsenal

21

22

48

2

Man City

21

36

47

3

Chelsea

21

21

46

4

Liverpool

21

25

42

5

Everton

21

15

41

6

Tottenham

21

1

40

7

Man United

21

11

37

8

Newcastle

21

2

33

9

Southampton

21

4

30

10

Hull

21

-5

23

11

Aston Villa

21

-7

23

12

Stoke

21

-13

22

13

Swansea

21

-4

21

14

West Brom

21

-5

21

15

Norwich

21

-18

20

16

Fulham

21

-24

19

17

West Ham

21

-10

18

18

Cardiff

21

-18

18

19

Sunderland

21

-15

17

20

Crystal Palace

21

-18

17

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post