DIAMOND PLATNUMZ ATUA MJINI NAIROB TAYARI KWA SHOW YA LEO USIKU

clip_image002Diamond Platnumz Akiwa na Wasaidizi wake leo jioni katika Viwanja vya Ndege Vya Mwalimu Julius International Airpot akielekea Nchini Kenya Kufanya Show ya Kampuni ya Simu ya Nchini Humo ijulikanayo kwajina la SAFARI COMclip_image002[5]

clip_image002[7]

clip_image002[9]Msanii Diamond na Crew yake iamesafiri na Ndege ya Shirika la ndenge la Kenya, Kenya Air Waysclip_image002[11]

clip_image002[13]Wakiwasiri Uwanja wa Ndege Nchini kenyaclip_image002[15]

clip_image002[17]Show hiyo ya leo Nairobi ni private na Hafla hiyo itafanyika ndani ya ukumbi wa Safari Carnivore Nairobi.wasafiTimu ya Wasafi wakiwa ndani ya Kenya tayari kwa show leo usiku

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post