DIAMOND PLATNUMZ APEWA SHAVU LINGINE NA DULLY SYKES

clip_image001Baada ya kuwakutanisha Naseeb Abdul aka Diamond Platinumz na Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz kwenye wimbo wake uliofanya vizuri ‘Utamu’, Prince Dully Sykes amempa shavu lingine Diamond kwenye wimbo wake.

Dully Sykes alipost picha ya Diamond kwenye Instagram wiki iliyopita ikimuonesha akiwa na Diamond studio wakifanya kazi, na kuandika, "mzee#kasmpaider#na#chibu@STUDIO...KAA#TAYARI#SOON#UTAKULA."

SOURCE: TIMES FM

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post