BREAKING NEWS:: MKUU WA UPELELEZI WILAYA NEWALA AUWAWA NA MAJAMBAZI

breaking newsMkuu wa Upelelezi Wilaya ya Newala, Mkoani Mtwara, wakiwemo watu wengine watatu wameuawa na wanaosadikiwa kuwa ni majambazi. Chanzo kutoka Radio One Stereo.

Tunaahidi kuwaletea u ya tukio hilo  kadri tutakavyokuwa tunazipata.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post