ANGALIA PICHA JINSI DARAJA LA DUMILA LILIVYO HARIBIKA VIBAYA KWA MVUA

Dumila darajaDaraja la Dumila lililopo mkoani Morogoro ambalo ni barabara ya Dodoma – Morogoro limekatika na magari hayapiti baada ya mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia leo. Kama ioneekanavyo katika PichaDumila daraja 2Baadhi ya magari yatokayo upande wa Dodoma na Morogoro yaliamua kugeuza na kurudi yalipotokea maana hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo.Dumila daraja 3Kutokana na mvua hiyo madarasa katika Shule ya Msingi Magole, Dumila, Morogoro nayo yamefunikwa na maji na wanafunzi kuamua kujiokoa kwa kupita madirishani.Dumila daraja 4Taarifa iliyopo ni kwamba Serikali imeamua kuifunga hiyo barabara kwa muda.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post