LAMAR AKERWA NA MAPRODUCER VILAZA WANAO KOPI NA KUPEST MIDUNDO

clip_image001Akizungumza na enewz ya EATV Lamar amesema kwa muda mrefu amekuwa akikerwa na maprodyuza mbalimbali wasiojituma zaidi ya kukopi na kupaste kazi za wenzao.

Lamar ametoa mfano wa jinsi watayarishaji wengine wanavyoiga beats za nyimbo za Diamond na kuanza kuzitumia kwa manufaa yao binafsi kiasi cha kuchangia kupoteza ladha ya muziki wa Bongo Flava.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post