Akizungumza na enewz ya EATV Lamar amesema kwa muda mrefu amekuwa akikerwa na maprodyuza mbalimbali wasiojituma zaidi ya kukopi na kupaste kazi za wenzao.
Lamar ametoa mfano wa jinsi watayarishaji wengine wanavyoiga beats za nyimbo za Diamond na kuanza kuzitumia kwa manufaa yao binafsi kiasi cha kuchangia kupoteza ladha ya muziki wa Bongo Flava.
Tags
WATU MAARUFU