Mfanyakazi wa maisha Club maarufu kama Dj S daizo Mzee wa Pamba, juzi usiku akiwa anatoka kula bata kwenye bar moja maarufu sana Mjini Dodoma ambayo ipo maeneo ya Area d Maarufu kwa jina la Kwa Matei(Mti Christmas) ambapo majira ya 7 akiwa na gari aina ya Toyota IST zenye namba za usajili T489 CJHakiwa anaelekea club Maisha, maeneo ya Round about ya kuelekea mjini ndio kulitokea ajali hiyo mbaya,Ingawa mpaka sasa hatujajua chanzo cha ajali ilikuwaje ila hali yake inaendelea vizuri.
CHANZO: AUDIFACEJACKSON BLOG
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.