Title: Darasa, Diamond, Roma & Young D ndani ya “Njia yetu ni Moja”
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5
Des:
Sisi sote ni binaadam na tunaamini kua leo kwao lakini wenda kesho ikawa kwetu kwakua Wote “Njia yetu ni Moja” …. Kwa kulithamini na kulihe...
Sisi sote ni binaadam na tunaamini kua leo kwao lakini wenda kesho ikawa kwetu kwakua Wote “Njia yetu ni Moja”…. Kwa kulithamini na kuliheshimu hilo tukiwa kama wasanii tumeona nivizuri kutoa Nyimbo hii itwayo “Njia yetu ni Moja” ikiwa kama moja ya mchango wetu kuungana na watanzania wenzetu wote kuhuzunika kwa janga/msiba mkubwa uliolokumba taifa letu.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.