YANGA YAENNDELEZA UBABE YAIBAMIZA JKT RUVU MABAO 4-0

clip_image002Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la 3 lililofungwa na Oscar Joshua dhidi ya JKT Ruvu FC wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda mabao 4-0.clip_image002[5]Omar Mtaki wa JKT Ruvu FC akipambana na Simon Msuva wa Yanga wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, ulochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

(PICHA NA KASSIM MBAROUK)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post