WASHIRIKI SITA WALIOBAKI WA EBSS 2013 KU-PERFORM NYIMBO ZAO SIKU YA FAINALI

clip_image001EBSS 2013 ikiwa inaelekea ukingoni, fainali ya EBSS 2013 imechukua sura mpya na mwaka huu washiriki watatakiwa kuimba nyimbo ambazo wametunga. Washiriki sita waliobaki tayari wameshakabidhiwa producers ambao watawasaidia kurekodi nyimbo zao kwenye studio
Lamar, Sheddy Clever(my number one producer) na Shirko ndio producers ambao watafanya kazi na washiriki sita waliobaki wa EBSS 2013.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post