SHEHENA YA PILI YA MITAMBOMBO YA UJENZI WA KIWANDA CHA KISASA CHA CEMENTI MKOANI LINDI CHA (MEIS) YA WASILI KATIKA BANDARI YA MTWARA

meisMkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila katikati akizungumza na Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha MEIS Bwana Merey Balhabou (L) pamoja na meneja wa bandari ya Mtwara bwana Absalom Bohela wakati wa sherehe ya kupokea shehena ya pili ya mitambo ya ujenzi wa kiwanda cha cementi cha MEIS mkoani Lindi.

meis 2Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha cement cha MEIS bwana Merey Balhabou kushoto akifafanua jambo kwa mkuu wa mkoa wa Lindi
Ludovick Mwananzila pamoja na walikwa walio hudhuria sherehe kupokea shehena ya pili yamitambo ya ujenzi wa kiwanda cha cement mkoani Lindi.

meis 4Mitambo hiyo imewasili katika bandari ya Mtwara ikitokea nchini
china.

Picha na Chriss Mpinanga.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post