MGOMO WA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA LINDI ASUBUHI YA LEO WACHUKUA SURA MPYA

DSC06350Wafanyabiashara wa manispaa ya Lindi wakiwasili katika Mahakama ya Mwanzo ya mjini hapa, kusikiliza shitaka la mmoja wa Wafanyabiasha alioletewa samansi ya mahakama hiyo majira ya saa 2:00asubuhi leo 5/11/2013DSC06352 
Mahakama ya Mwanzo ya Mjini Lindi ambayo ilitoa hati ya wito wa mahakama kwa mmoja wa wafanyabiashara kuja kujibu  shitaka
DSC06354
Waafanyabiashara waliokusanyika Mbele ya Mahakama Ya Mwanzo ya Mji wa lindi, wakisubiri kujua hatma ya mfanyabiashara mwenzao aliotakiwa na mahakama siku hii ya leoDSC06376Akinamama hawakuwa nyuma nao waliungana na wenzao katika kuhakikisha wanajua kila nyendo inayo kwenda, wakiwa nje ya Mahakama ya MwanzoDSC06360Wakati huo Maduka na Masoko yote Mjini hapa Yalikuwa yamefungwa na Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya Soko kuu na kupanga Biashara zao nje ya Soko kama inavyoonekana pichani.DSC06361
DSC06362Baadhi ya Wananchi wakiendelea kupata Huduma hafifu katika soko kuu Mjini Lindi kufuatia mgomo wa Wafanyabiashara wa Mji huu.DSC06365Mandhari ya Mji Leo asubuhi ukionekana hivi ukiwa hauna pilika pilika za watu kufuatia mgomo wa wafanyabiashara, Maduka na Masoko na Stationary zote zimefungwa hakuna huduma inayotolewa na wafanyabiashara wako katika Mahakama Ya mwanzo kujua hatma ya Mfanyabiashara mwenzao pamoja na Mambo mengine wanayo yalalamikia kuhusiana na Kodi mbalimbaliDSC06371
DSC06372
DSC06374
DSC06375

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post