LIVE MATCHES UPDATES:: VODACOM PREMIER LEAGUE, AZAM Vs MBEYA CITY, YANGA Vs OLJORO

clip_image003Mwigizaji maarufu senga akifuatilia mpira ndani ya chamaziiiclip_image002mashabiki wa Mbeya City uwanjani

clip_image002[6]

clip_image002[8]Mashabiki wa Mbeya City wakishangilia  kwa nguvuclip_image002[10]Mashabiki wa Mbeya City wakishangilia Mara baada ya Kusawazisha Goli Hadi sasa Matokeo ya Mechi hiyo ni Azam 1 – 2 Mbeya City

**********************UWANJA WA TAIFA******************
clip_image002[12]

Yanga inaongoza hadi sasa kipindi cha mapumziko kwa Goli 2 – 0 dhidi ya oljoro, magoli hayo yakiwekwa kimiani na Mshambuliaji Simon Msuva na Mrisho ngasa,

Simon Msuva ndie aliyefungua ukurasa wa Magoli katika timu yake mnamo dakika ya 21 ya mchezo mara baada ya kupokea pasi nzuri ya Haruna Niyonzima, Dakika ya 29 mrisho Ngasa aliweza kuiandikia bao la 2 timu yake ya Dar Young Africa kwa kufunga goli hilo baada ya kupiga One two na kuachia shuti kali lililomshinda mlinda mlango wa Oljoro.

HALF TIME:: YANGA 2 – 0 OLJORO, AZAM 1 – 2 MBEYA CITY

HADI SASA MSIMAMO WA LIGI UKO HIVI

# Team                          M   P   W   D   L     F   A    D      P
1.Young Africans    12  7     4   1  3      0   11 +19   28
2. Azam                         12  7     5   0  2      1    8  +13   27
3. Mbeya City              12  7     5   0  1      7     8   +9   27
4. Simba                       13  6     6   1   2     6    13 +13  24

SECOND HALFclip_image003[3]CHAMANZI:::Mwigane yeya anafanikiwa kuiandikia tena Mbeya city goli la pili.
Azam 1 - Mbeya city 2

TAIFA:: PASI IMIANZIA mbuyu twite>>>>mrisho ngassa anapiga krosi. . tegete anapiga goli la 3
Yanga 3 Oljoro 0

CHAMANZI:::: john boko anasawazisha,
Azam 2 Mbeya city 2

TAIFA: Ball possesion Yanga 85% Oljoro 15%
Oljoro wanakaba kwa macho tu. . Yanga wametawala mchezo huu.
Reliants Lusajo anapiga jeramba hapa kupasha misuli
Yanga 3- Oljoro 0
Azam 2- Mbeya city 2
HADI SASA YANGA ANAONGOZA LIGI.

MSIMAMO HADI SASA. . TATU BORA
Team                  MP    W    D   L  Goals  GD   Pts
↑ Yanga SC        13      8     4    1      31      20    28
↑ Azam FC         13      7     6    0      22      13     27
↓ Mbeya City   13      7     6    0      17        8      27

TAIFA::: YANGA Dakika ya 70, anaingia Reliants Lusajo kuchukua nafasi ya Frank Domayo

CHAMANZI:::Mwigane yeya anapiga hat- trick hapa Chamazi. . Mbeya city 3 Azam 2clip_image003[1]

KIBARUA BADO KIZITO HAPA CHAMANZI:::Hamis mcha viali anasawazisha, Azam 3 - Mbeya city 3

TAIFA:::Dakika ya 80 anaingia Said Bahanuzi kuchukua nafasi ya Haruna Niyonzima

MATOKEO NI YANGA 3 – 0 OLJORO

MJINI TABORA MATOKEO NI : Rhino 0-0 Prisons

CHAMANZI::: MPIRA UMEMALIZIKA NA MATOKEO NI

AZAM 3 – MBEYA CITY 3

TAIFA::Zinaongezwa dakika 2. .
Yanga 3 - Oljoro 0

Mpira umemalizika, Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro

MAGOLI
Msuva dkk 23
Ngassa dkk 30
Tegete dkk 54

Kwa matokeo haya ya leo sare ya 3-3 kati ya Azam na Mbeya City
Young Africans inakamata kiti cha uongozi kwa kufikisha pointi 28

YANGA WANAONGOZA LIGI KUU. . HADI MWAKANI.

Team                  MP   W   D    L   Goals   GD   Pts
↑ Yanga SC        13     8    4    1       31       20      28
↑ Azam FC          13     7     6   0      22       13       27
↓ Mbeya City    13     7     6   0      17         8        27

MSIMAMO WA LIGI ULIVYO HIVI SASA

TEAM

MP

W

D

L

GOALS

GD

POINT

YANGA SC

13

8

4

1

31

20

28

AZAM FC

13

7

6

0

22

13

27

MBEYA CITY

13

7

6

0

17

8

27

SIMBA SC

13

6

6

1

26

13

24

KAGERA SUGAR

13

5

5

3

15

5

20

MTIBWA SUGAR

13

5

5

3

18

2

20

COASTAL U

13

3

7

3

10

-3

16

R.SHOOTING

13

3

6

4

14

-1

15

JKT RUVU

13

5

0

8

10

-6

15

RHINO

13

2

6

5

9

-6

12

JKT OLJORO

13

2

4

7

9

-10

10

ASHANTI UTD

13

2

4

7

11

-12

10

PRISON

13

1

6

6

6

-9

9

MGAMBO

13

1

3

9

3

-20

6

Gonga like kuzipongeza timu zote zilizoshiriki pia comment jina la timu yako tuone ni ya ngapi katika msimamo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post