HAYA NDIO MATOKEA YA SHINANO LA NANI MTANI JEMBE HADI SASA YANGA INAONGOZA

clip_image002[7]   
Nani Mtani Jembeclip_image002[4]Matokeo ya shindano la Nani Mtani Jembe mpka kufikia leo mchana saa 6 ni :
Yanga SC Tshs 60,930,000.
Simba SC Tshs 39,070,000.
Tunaomba wapenzi na wanachama wa klabu ya Yanga muendelee kupiga kura wingi ili tuweze kuibuka washindi katika kinyang'anyiro hichi.
Kumbuka kiasi cha pesa kitakachopatikana katika shindano hili ndo kiasi hicho hicho cha pesa taslimu kitakachokabidhiwa kwa timu ya Yanga SC.
Yanga "Daima Mbele Nyuma Mwiko”
SOURCE: YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post