WASANII WAZIDI KUTAMBIANA KWA MALI WALIZONAZO, SASA NI UWOYA NA RANGE ROVER

clip_image002STAA wa tasnia ya filamu hapa Bongo, Irene Uwoya ameuanika mkoko wake mpya Range Rover.clip_image002[6]Kupitia mtandao wa instagram Uwoya alipost picha za gari hilo huku akiandika… I don't care… Watasubiri sanaaaa…. My bby.clip_image002[8]Huku watu wakicoment kwa kumpongeza kuwa huwa anaongea kwa vitendo na siyo…

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post