PICHA:JOSE CHAMELEON AKI PERFORM NA MPENZI WAKE KWA MARA YA KWANZA

clip_image001Msanii wakimataifa wa muziki toka nchini Uganda maarufu kwa jina la Jose Chameleone ameonekana katika hisia kali sana akiwa anaimba katika show moja akiwa nchini humo Uganda baada ya kucheza na mwana dada moja mrembo ,ambaye amekua akionekana nae sehemu mbalimbali ,nakudaiwa ni mpenzi wake wamuda murefu sasa, pia mrembo huyo ameonekana akiwa na furaha sana kwa kucheza na mpenziwe jukwaani kwasababu amedai ni mara ya kwanza kufanya nae hivyo.

SOURCE: EJFASIONREALMEDEIA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post