Unknown Unknown Author
Title: HUU NDIO USHAHIDI WA KUSHUKA KWA ELIMU TANZANIA, HEBU ANGALIA MADUDU HAYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mtihani wa majaribio ambao mtoto aliyefaulu kidato cha kwanza alijaribiwa kujua uwezo wake baada ya kufaulu, lakini cha ajabu wapo ambao wal...

clip_image001Mtihani wa majaribio ambao mtoto aliyefaulu kidato cha kwanza alijaribiwa kujua uwezo wake baada ya kufaulu, lakini cha ajabu wapo ambao walishindwa hata kuandika majina yao, Wilaya zao na hata mkoa wao. Angalia mitihani hii iliyofanywa Wilaya ya Rombo.Mtihani wa majaribio ambao mtoto aliyefaulu kidato cha kwanza 2012 alijaribiwa wilaya ya Rombo.Mtihani wa majaribio ambao mtoto aliyefaulu kidato cha kwanza alijaribiwa.Wapo walioshindwa hata kuandika imla na hata kujazia maneno kwenye sentesi zilizo wazi. Hii ni changamoto kwelikweli..!Mtihani wenyewe ulisomoka hivi…!Wapo walioshindwa hata kuandika jina la shule aliyokuwa akisoma, Wilaya, Mkoa na hata majina yao kiusahihi. Hata hivyo habari za kina ambazo mtandao huu ulizipata na kuzifanyia uchunguzi wanafunzi hawa bado wanaendelea na masomo ya Sekondari mikoa tofauti. Tafakari..Chukua Hatua..

CHANZO: THEHABARI.COM

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top