Askari wakiwa katika juudi za kuhakikisha mambo yanakaa sawa na hali iwe shwariPolisi wakiwa katika ulinzi mkaliMaduka yakiwa yamefungwa
Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yaoBaadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vuruguMawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokoteMaduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRAVijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitiaJiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipiteHali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.