ANGALIA PICHA: JERI MURO AMVAA ASKARI WA TRA NA KUANZISHA MZOZO MZITO

clip_image001Picha ndo linaanza Jeri akielekea kwenye gali lake 
Jeri Muro akimweleza askari kuwa alichokifanya si sahihi 
Watu walikuwa karibu wakisikiliza nini kinaendelea kati ya askari na Jeri Muro 
Jeri Muro anamwambia Askari "Siwezi kukusamehe kwa hili" 
Mambo yalizidi kuwa magumu kila dakika ilivyozidi kuyoyoma watu na askari waliidi kuongezeka hadi mdodosaji wa habari hii alipoondoka eneo la tukio aliacha mzozo huo ukiendelea….

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post