AJALI NYINGINE MBAYA: BASI LA MACHINGA LAUA DEREVA NA MAJERUHI KADHAA

clip_image001[1]Muonekano mzima wa Basi Machinga lililopata ajali mbaya...
BASI hilo la Machinga limepata ajali mbaya mapema leo asubuhi iliosababisha dereva wa Basi anaefahamika kwa jina ( NOOR ) kupoteza maisha papohapo,
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Kilima hewa Mbele ya Kimanzichana,Wakati Basi hilio lilipokuwa Safarini kutoka Dar Es Salaam Kuelekea Mtwara ndipo lilipogongana uso kwa uso na lori la mizigoclip_image001clip_image001[6]clip_image001[8]clip_image001[10]Mwili wa dereva wa basi la machinga ukitolewa kwenye basi baada ya kufa papo hapo. idadi ya majeruhi mtazipata hapa mda si mrefu

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post