UNYAMA NA UKATILI WA NAMNA HII HAUFAI

clip_image002 
Ni kweli inawezakana katenda kosa lakini Je adhabu anayopewa inalingana na Kosa alilofanya? Je nini mafundisho ya Dini zetu au ndio hatuna tena mioyo iliyosafi na kuishi kama wanyama? maana Binadamu mwenzako unamchukia hadi kufikia kumfanyia UKATILI KAMA HUU.
TUBADILIKE WANANCHI WENZANGU, NI MUNGU PEKEE ANAE HUKUMU

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post