UGANDA: WALIMU WAWEKA MGOMO, WADAI NYONGEZA YA 20% KATIKA MISHAHARA

clip_image001Kutoka nchini uganda walimu wa shule za serekali wameamua kuanzisha mgomo wa kutokwenda kazini kufundisha mpaka pale Serikali ya Nchi hiyo iwaongeze walimu hao Asilimia 20 katika mishahara yao, ambayo ilikua ni ahadi kutoka serikali ya Uganda, lakini mpaka sasa serikali hiyo haijatimiza ahadi hiyo na kusababisha baadhi ya shule kutogawa huduma ya masomo kwa wanafunzi kutokana na hali ya mshahara mdogo wanaopata walimu wa shule hizo za serikali.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post