TAMKO LA SERIKALI YA UGANDA KUHUSIANA NA MKATABA WA ROMA

Kuna habari kutoka serikali ya Uganda kwamba Umoja wa Afrika utajadili uwezekano wa baadhi ya nchi zake kujiondoa katika mkataba wa Roma ambao unaunda mahakama hiyo katika mkutano wake unatarajiwa kufanyika mwezi ujao clip_image003Mahakama ya ICC nchini Uholanzi
Nikumbushe kwamba kuna mataifa 34 ya afrika ambayo yamesaini mkataba huo. Kutoka mjini Nairobi Kenya Sudi Mnette alizungumza na mkurugenzi mkuu wa asasi ya kimataifa inayojishughulisha na sera barani Afrika, Peter Kagwanja na kwanza alitaka kujua hatua hiyo itakuwa na athari gani kwa ICC.
Mwandishi: Sudi Mnette, Mhariri:Yusuf Saumu, Web: DW.DE

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post