Kuna habari kutoka serikali ya Uganda kwamba Umoja wa Afrika utajadili uwezekano wa baadhi ya nchi zake kujiondoa katika mkataba wa Roma ambao unaunda mahakama hiyo katika mkutano wake unatarajiwa kufanyika mwezi ujao
Mahakama ya ICC nchini Uholanzi
Nikumbushe kwamba kuna mataifa 34 ya afrika ambayo yamesaini mkataba huo. Kutoka mjini Nairobi Kenya Sudi Mnette alizungumza na mkurugenzi mkuu wa asasi ya kimataifa inayojishughulisha na sera barani Afrika, Peter Kagwanja na kwanza alitaka kujua hatua hiyo itakuwa na athari gani kwa ICC.
Mwandishi: Sudi Mnette, Mhariri:Yusuf Saumu, Web: DW.DE
Nikumbushe kwamba kuna mataifa 34 ya afrika ambayo yamesaini mkataba huo. Kutoka mjini Nairobi Kenya Sudi Mnette alizungumza na mkurugenzi mkuu wa asasi ya kimataifa inayojishughulisha na sera barani Afrika, Peter Kagwanja na kwanza alitaka kujua hatua hiyo itakuwa na athari gani kwa ICC.
Mwandishi: Sudi Mnette, Mhariri:Yusuf Saumu, Web: DW.DE
Tags
MAKALA