Maharusi Stefano Kisinda na Rebeka Mwalo wakiwa wamepanda juu ya mti kwa ajili ya kupiga picha ya tofauti na maharusi wengine hupendelea kupiga picha hizo wakiwa Beach au katika Mahoteli Makubwa au katika Bustani Nzuri,
Picha Hii walipiga wakati walipofunga pingu ya maisha katika kanisa la Roman katoliki parokia ya Ikuvilo kijijini Ikuvilo wilaya ya Iringa vijijini juzi
(picha na Francis Godwin Blog).
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.