Taarifa za uhakika ni kuwa kuna Askari mmoja ambaye ni miongoni mwa walinzi wa Bunge ameenda kufungua faili Polisi Dodoma na kusema kuwa ametishiwa kupigwa na Mbunge Sugu, baada ya kufungua JALADA hilo polisi wamechukua Diffender 6 na wameingia mitaani kumtafuta ili aweke ndani mpaka kesho ndio afikishwe mahakamani asubuhi.
Lengo la kutaka kumkamata leo ni ili alale ndani hadi kesho asubuhi.
Bunge limebariki bila kujali kinga na madaraka ya Bunge, pia bila kujali ibara ya 100 ya katiba kuhusu haki za Bunge.
Polisi wana hasira sana na Sugu tangu alipowashinda kuhusu Ujinga wa Pinda ......
SOURCE: Jamii Forum
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.