Lengo la kutaka kumkamata leo ni ili alale ndani hadi kesho asubuhi.
Bunge limebariki bila kujali kinga na madaraka ya Bunge, pia bila kujali ibara ya 100 ya katiba kuhusu haki za Bunge.
Polisi wana hasira sana na Sugu tangu alipowashinda kuhusu Ujinga wa Pinda ......
SOURCE: Jamii Forum
Tags
HABARI ZA KITAIFA