Msitu wa Hifadhi wa misitu ya Rondo wateketea kwa moto Mapema Jana mchana na kusababisha Bara bara ya Namupa Nyangao kufungwa kwa takribani lisaa limoja kutokana na ukubwa wa moto huo, chanzo cha moto huo hakijafahamika hadi sasa..
Wananchi waombwa kuacha kuchoma moto sehemu zao za mashamba mara wanapotaka kuanza kilimo kwani unaweza ukaleta athari kubwa kama hii iliyotokea katika Hifadhi ya Misitu.
Hizi ni Baadhi tu ya Picha za Msitu huo ulioteketea kwa moto.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.