Unknown Unknown Author
Title: RUTO NA SANG WAKANA MASHTAKA ICC
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto, imeanza kusikilizwa katika mahakama ya kimataifa ya ICC huko Hague. Bwana Ruto anayetuhumiw...

clip_image002Kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto, imeanza kusikilizwa katika mahakama ya kimataifa ya ICC huko Hague.

Bwana Ruto anayetuhumiwa kwa kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007, alikana mashtaka yote dhidi yake. Vile vile mshtakiwa mwenza mtangazaji wa redio Joshua Arap Sang pia alikana mashtaka.

Rais Uhuru Kenyatta ambaye pia anatuhumiwa kuhusika na ghasia hizo anatarajiwa kufika mbele ya mahakama hiyo mwezi Novemba.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top