Kampuni ya Candy n’ Candy Records iliyoko jijini Nairobi Kenya, iliompa mkataba Mr. Nice imeamua pia kuumpa mkataba msanii mwingine wakike Baby Madaha mkataba wa shilingi Milioni 50 na gari mpya aina ya audi, Baby madaha ambaye anatarajia kutua nchini leo akitoka Nairobi pamoja na meneja wake kwa ajili ya kuachia video ya wimbo wake wa kwanza aliofanya na Label hiyo uitwao “Summer Holiday”. Mmiliki wa studio hiyo amesema wanataka kumuhamishia msanii huyo jijini Nairobi nchini Kenya kwa kipindi cha mwaka mmoja ili afanye nao kazi huko kwakua wamegundua kuwa anakubalika sana nchini Kenya.
Huu ndio wimbo wenyewe
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.