SIMULIZI: NILILALA NA MAITI 20 ILINIOLEWE NA RAIS SEHEMU YA 8

clip_image003Story: Nililala na maiti 20 ili niolewe na Rais
Sehemu: 8
Mtunzi: Andrew Carlos
Simu: +255 713 133 633
Ilipoishia jana…
“Sawa baba nimekuelewa!”
Nikauchukuwa ungo nakuweka pembeni yangu.Ulikuwa umewekwa nguvu zetu zote za kutukinga na uchawi.Mkono mmoja nikashikilia mkia na mwingine nikashikilia kibuyu. Nikaingia ndani ya ungo kisha nikaupepea ule mkia hewani kuonesha ishara kuwa nataka kuondoka. Nikapaa! Safari ya kufukuzia maiti barabara iendayo Chalinze ikaanza.
Sasa songa nayo..
Kwa kawaida ya mchawi huwa anasafiri kwa ungo muda wowote anaoutaka kwa duniani japo wachawi wengi hupenda kuutumuia muda wa usiku duniani kusafiri. Na hata wachawi ambao tunaungana nao wakitokea duniani huwa wanauwezo wa kutuona muda wowote wakiwa duniani. Hali ya hewa ilikuwa ni ya joto joto na kwa upande wa duniani kulikuwa ni jioni sana karibia na kuingia kiza japo kwa sisi wachawi muda wote huwa tunaona ni usiku tu kutokana na dunia yetu ya kichawi iliojaa giza na hata macho yetu yenye nguvu kali ya kufanya eneo lote lipambazuke. Nikiwa ndani ya ungo wa kichawi nikiutumia kama usafiri. Nilikuwa tayari nimeshafika maeneo ya Mlandizi. Kibuyu changu kikaanza kutikisika ikiwa ni ishara ya kuniamuru nipunguze mwendo nipo maeneo ya karibu na sehemu niendayo. Nikaunyoosha mkia kwa chini taratibu. Ungo ukashuka kidogo, nikawa nimeuweka chini chini usawa wa magari yatembeayo. Nikayatoa macho yangu uku na kule , kibuyu kikatingishika tena.Hofu! Mwili ukaanza kama kunitetemeka kuashiria sasa nimeshalifikia eneo ambalo natakiwa kuwepo.
“Hili hapa mbele yangu!”
Nikausemea moyo baada ya macho yangu kuangaliana na daladala ndogo iliokuwa ikisafiri mwendo wa kawaida. Nikauongoza ungo wangu mpaka kwenye paa la daladala.Nikashuka!
Nikaachana na ungo. Nikauweka pembeni nakuchukuwa kibuyu changu na mkia. Nikaivuta hewa kwa ndani kuongeza nguvu kisha nikaushikilia mkia vilivyo mkononi mwangu. sasa kazi ikawa ni moja tu. Kutumia kucha zangu na mwili wangu kuhakikisha nakuwepo ndani ya daladala pasipokujulikana na watu wa duniani. Nikaingia kupitia dirisha mojawapo ambalo lilikuwa wazi. Kwenye siti alikuwa amekaa mmama mzee aliyeonesha huenda alikuwa karibu sana na marehemu kutokana na uso wake kujaa majonzi. Majonzi ya kuililia maiti. Akili yangu ikawa ni moja tu. Kuhakikisha naliona hilo jeneza. Nikajibanza kona ya ndani ya daradala karibu kabisa na siti ya dereva.
“Lile palee!”
Nilijikuta nikiusemea moyo baada ya macho yangu kuliona jeneza mbele yangu. Moyo wangu ukaingia na ubarafu! Nikaanza kusonga mbele kwa mikogo kuelekea kwenye jeneza pasipo kunitambua hata binadamu mmoja kati ya waliokuwa wakisafirisha maiti. Kitendo cha kuifikia tu maiti ghafla nikashangaa tukipigana kikumbo na mtu. Nikakivuta kibuyu changu kwa upande wa mbele. Haraka haraka nikanyoosha mkia wangu kama ishara ya kunikinga kwa chochote. Na yule mtu naye akanyoonya mkia na kibuyu.
“Unataka nini?”
Sauti ya kike na ya kibabe ikajipenyeza mpaka ndani ya masikio yangu. Kwa muonekano nayeye alionesha kuwa ni mchawi lakini wakutoka katika kambi nyingine. Naye alikuwa katika mawindo kama yangu.
“Hii ya kwangu na unajua nimetoka nayo wapi? Ni mimi ndio niliitengeneza mpaka ikafa na hapa ndio nipo kwa ajili ya kumchukuwa”
Nilimsikiliza maneno yake lakini yakagonga mwamba katika ngome ya masikio yangu. Nikawa mkaidi! Nikaendelea kuing’angania ile maiti kuwa ni mali yangu uku nikilikumbatia jeneza. Kwa kawaida ya wachawi ugomvi wao huwa wanagombana pasipokujua watu wa duniani na hata kama watapigana bado watu wa duniani ni vigumu kujua zaidi ya watoto wachanga au wale wenye miaka kuanzia mitatu kushuka chini ndio wenye uwezo wakushuhudia kila kitu kinachotuhusu wachawi.
“Hapa mwanangu ni kuelewana. Wote sisi ni watu wa aina moja. Nakuomba niachie tu hii maiti utapata nyingine tu. Kwani na wewe umetumwa upeleke uko kwenye kambi yenu?”
“Hapana mie nipo kwenye adhabu na natakiwa nilale na maiti ishirini zote na mpaka sasa ndio kwanza hii maiti ni ya tatu, nakuomba uniachie?”
“Kumbe kulala nayo tu. Haya fanya haraka basi ili niondoke nayo.”
“Sawa!”
“Haya mie nakutanulia kwa kutumia nguvu zetu. Ingia”
Bila kupoteza muda Adela mimi, nikafunua jeneza nakuliangalia mpaka ndani. Kwa nguvu za kichawi alizokuwa nazo mwenzangu. Alilishikilia jeneza likatanuka na kuwa kubwa. Niliweza kuingia mpka ndani ya maiti. Nikatazamana nayo. Maiti ilikuwa ya mtu aliyeonesha kuwa ni mzee sana. Nikaanza kuilamba lamba lamba kuanzia eneo la kichwani mwake ambapo alionekana kutokuwa na nywele hata moja zaidi ya upara tena ule upara wa kizee.Nikashuka kwa haraka haraka mpaka eneo la kifuani mwake. Nikaendelea kumtomasa kwa maringo zaidi uku nikimlamba lamba mithili ya ice cream zile za bakresa mpaka nikakutana na eneo la sehemu zake za siri.
“Mlambe! Mlambe sehemu zake za siri hakikisha unazinyonya haswa kisha ufanye naye mapenzi kama wafanyavyo wapenda nao uko duniani”
Kama kawaida ya maneno kabla sijafanya mapenzi na maiti huwa yakinitokea. Kwa sasa nilikuwa nimeshayazoea katika masikio yangu. Nikaanza zoezi la kuzinyonya sehemu za siri zote uku nikizifurahia. Nikamaliza kuzinyonya nikazikalia. Munkari! Nikaendelea kukatikia viungo vyake vya sehemu za siri kwa furaha ya ajabu. Utamu! Kadri nilivyozidisha kuvikatikia ndivyo na ile maiti ilivyokuwa ikitoa damu damu kupitia eneo la masikioni mwake na puani. Utamu ukaendelea kunizidia uku nikiangaliana ile maiti. Nikazidisha kuikatikia haraka haraka. Kwa muda huu damu ilizidi kuvuja. Ikavuja kupitiliza kiasi cha kuanza kulijaza jeneza. Haraka haraka nikachukuwa kibuyu changu na mkia. Nikajinasua! Nikatoka mpaka nje nakumkuta yule mama aliokuwa amenishikia lile jeneza hayupo. Nikatoka nakuchungulia juu ya paa la gari kuangalia usafiri wangu (ungo). Nikataharuki! Hakukuwa na gari langu. Nikabaki nimezubaa dirishani nikiwa sielewi elewi. Nikiwa bado natafakari juu ya usafiri wangu uku upepo mkali ukinipuliza kichwa changu kilichokuwa kimezubaa nje ya gari na mwili ukiwa ndani ya gari. Mara sauti ya watu waliokuwa wakisafiri wakaanza kupiga makelele ndani ya gari. Wakapaza sauti zao. Gari likaanza kuyumba na kupoteza uelekeo. Nikaruka! Mpaka nje, mwili ukaupa salamu ardhi ya kando kando mwa barabara ya lami. Macho yangu yakabaki yakilisindikiza lile gari ambapo lilienda mbele kidogo nakugota. Likatoa mlio mkali. Ajali! Likaanguka mpaka chini nakubiringita zaidi ya mara tatu. Makelele ya ajabu ndio yakaendelea kutoka. Akili yangu ikanituma niangaze juu nikimbie. Nikayahamishia macho yangu juu.Nikamshuhudia yule mama aliochukuwa usafiri wangu akishuka na ungo wangu.
“Ulikuwa wapi nimekutafuta sana?”
“Nilikuwepo mbele ya lile gari pale?”
Akaninyooshea ile daladala ambayo nilikuwa nikiishuhudia muda si mrefu ikipata ajali mbaya. Nikamgeukia!
“Ulikuwa unafanyaje?”
“Mimi ndio niliyesababisha ile ajali tena twende tuwahi haraka nimewaacha wenzangu kama watatu hivi wanachukua mioyo ya maiti.”
Sikutana kuamini wala kuelewa. Nguvu zangu za kichawi bado nilikuwa nazo, nikasonga naye mpaka eneo la karibu na lile gari. Tukafika! Watu wengi walikuwa wamelala uku damu damu nyingi zikiwatawala kuashiria kama si mahtuti basi watakuwa wameshapotea uhai. Baadhi yao walikuwa hai wakiendelea kulia kwa vikwifukwifu.
“Sarah? Sonia? Na Tonny huyu ni mwenzetu sema yeye kambi yake iko Dare s salaam”
“Tunashukuru kumfahamu anaitwa nani?”
“Awaambie mwenyewe?”
“Naitwa Adela!”
Nikawaambia jina langu. Wakanionesha tabasamu hafifu. Wakaangaliana kisha wakanisogelea nakunipa mkono.
“Kuanzia sasa tutashirikiana na wewe na tutapajua hadi ulipo!”
Nikawaitikia kwa ishara ya kichwa. Wakanijumuisha katika safari yao. Nikawasaidia kazi. Pale. Tukaanza kuzichukua maiti moja baada ya nyingine nakuzidumbukia mkono eneo la ubavu wa kushoto nakutoka na moyo. Tukafanikia kupata mioyo zaidi ya kumi na sita.. wakanikabidhi mioyo yote niishikilie. Wao wakachukuwa baadhi ya miili iliokuwa ikiweweseka kwa kutaka kupoteza maisha.Haikuwa ikijitambua kama ipo mikononi mwa wachawi. Yule mama akalichukuwa gari langu (ungo) nakuutanua. Ukaonekana mkubwa kupita kiasi .Akaweka wale watu karibia kumi. Akapanda na yeye akitumia mkia wake na kibuyu kama nifanyavyo mimi kisha akaongoza mkia kwa kuunyosha. Tukapanda wote.Safari ikaanza kuelekea kambi yao.
“Jana tulipata maiti ishirini zipo kwenye kambi yetu na leo tumeamua kuwachukuwa hawa tukawaulie uko uko. Najua utalala nazo zote na utaondoka ukiwa umelala na maiti hata zaidi ya ishirini. Si unataka uolewe na rais?”
“Rais? Rais gani? Mimi niliambiwa nifanye hivi ili nirudi duniani niwe mtu wa kawaida”
Yule mama akanigeukia. Akanitazama macho yangu uku akiwa bado ameushikilia mkia wake kuongoza safari. Akanicheka kwa dharau! Wakina Sonia na wenzake nao wakaitikia kwa vicheko.
“Hakuna hata siku moja mchawi anayerudi duniani na kuishi kawaida ni sawa na mlokole kuingia katika uchawi akiwa ameshika biblia. Walifanya hivyo kukudanganya tu. Ili uweze kumaliza maiti zote. Shukuru wamekupa dawa zao. Kwenye kambi zetu huwa tunatoa mwanamke mzuri kila baada ya miezi miwili kwa ajili ya kuolewa na rais na kuishi na rais. Na ili uolewe na rais ni lazima ulale na maiti nyingii. Kambi yenu mwezi huu ni wake kutoa mwanamke mzuri wa kuolewa na rais. Sisi kambi yetu yupo Diana tulishawahi kumpeleka Diana ambaye alilala na maiti nane kisha akaolewa na rais.Akawa anafanya mapenzi na rais kila siku.”
Nikajikuta mwili wangu ukinisisimka. Nikatamani sana na mimi nimalize kulala na maiti zote haraka nipelekwe kuolewa na rais. Nikafikiria jinsi rais alivyokuwa na nyadhifa kubwa serikalini. Akili yangu ikamfikiria mke wake kwa jinsi nitakavyokuwa simpendi namfanyia vituko. Nikaahidiana na moyo wangu, akili ikakiri kumpa mapenzi ya dhati mpaka awe ananipenda mimi nakumuacha mke wake wa duniani.
“Lakini mama sijaelewa vizuri. Kwani rais mwenyewe ni yule wa duniani?”
*****************************
***** Adela amekutana na kambi nyingine ambayo imempa baadhi ya siri alizokuwa hazijui. Je ni ya kweli? Ataolewa kweli na rais? Ni rais yupi? na nini hatma ya maisha ya Adela?
***** LIKE nyingi zinasaidia kuifanya simulizi hii inoge na kuwa tamu zaidi. Gonga LIKE yako simulizi hii.
***** Wengi wao wameonesha jana kushtuka kuwa simulizi ya jana imekuwa fupi. Ni kweli imekuwa fupi lakini leo imekuwa ndefu. Ila kama huwa unaona fupi ni vyema ukanunua pia utakuwa umemuunga mkono mwandishi.
Tuma neno ‘MAITI 20’ inbox hapa uwanjani halafu nitakupa simulizi yote mwanzo mpaka mwisho kwa gharama ya chini kabisa ya shilingi 2500/= tu. Tuma pesa yako kupitia namba.
Tigo: 0713 133633 – Andrew Andrew
Voda: 0758211153 – Bahia.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post