MUONEKANO MPYA WA BARABARA NA VITUO VYA MABASI JIJINI DAR

clip_image002Hiki ni kituo kilichopo maeneo ya Magomeni Usalama.clip_image002[6]Muonekano wa Morogoro road eneo la Magomeni.

Wakati ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi, jijini Dar es Salaam ukiendelea katika Barabara ya Morogoro muonekano wa vituo vipya unavutia tofauti na ule wa zamani.

(HABARI/PICHA: NA GLADNESS MALLYA/GPL)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post