Unknown Unknown Author
Title: FALSAFA ZANGU ABDULRASUL MUHIBU NO. 1 SIFA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
ABDULRASUL MUHIBU SIFA Hili ni gonjwa kubwa hatarishi sana hasa kwa vijana hata watu wazima walio wengi. Kwa kutaka kupata sifa au kusifiw...

clip_image001ABDULRASUL MUHIBU

SIFA

Hili ni gonjwa kubwa hatarishi sana hasa kwa vijana hata watu wazima walio wengi. Kwa kutaka kupata sifa au kusifiwa,tumejikuta kukifanya maamuzi mbalimbali ambayo mara nyingi yanatugharimu sana na hivyo kupoteza pesa nyingi. Mfano Manunuzi ya TV ambazo ni Bapa {Flat screen}, Zimewafanya watanzania wengi kuingia gharama ambazo si muhimu kiasi hicho, Lakini lakini lengo ni kutaka kutambi...lika katika jamii inayokuzunguka au kwenda na wakati,

Tumejikuta tukiingia gharama ambazo nje ya uwezo wetu, na hivyo kuchangia katika ugumu wa maisha. Tafadhari Ieleweke ya kwamba sipingi watu kwenda na wakati,Bali ushauri wangu ni kwamba je? Hiko unachoamua kununua kipo ndani ya uwezo wako? "ACHA KUSEMA MAISHA NI MAGUMU JICHUNGUZE" Sambaza ufahamu hadi mashariki ya mbali

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top