WABUNGE WA YANGA WAIBUKA WASHINDI DHIDI YA WABUNGE WA SIMBA, SHEREHE ZA USIKU WA MATUMAINI

clip_image002Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia na kombe lao.Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia baada ya kuwalaza watani wao Simba (Wabunge) kwa penati 4-3.

MECHI ILIANZA HIVI CHEKI PICHA CHINIRais Kikwete akielekea kukagua timu.Rais Kikwete akisaini mpira utakaotumika....Akiwakagua Yanga...Akiwakagua Simba.Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Eric Shigongo, Waziri Fenella Mukangara, marefarii na manahodha wa Simba na Yanga.Jk akipuliza kipenga.

 PICHA ZOTE KWA HISANI YA GPL

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post