Kufuatia upepo wa wasanii wa muziki hivi sasa kuonyesha ama kuweka wazi mapenzi yao na vyama vya siasa na wengine kujiunga kabisa na vyama hivi hapa nchini, Hali imekuwa tofauti kabisa kwa msanii Ben Pol ambaye ameapa kuwa hawezi kushiriki wala kupigia debe chama chochote katika shughuli zake.
Hii ndiyo tweet aliyoweka Ben Pol leo kuhusiana na hili;Katika mahojiano ambayo msanii huyu ameyafanya exclusively na mwandishi wa blog ya jamii, msanii huyu ametoa kauli nzito kuhusiana na yeye kujihusisha katika vyama hivi vya siasa, pamoja na sababu ya uamuzi wake, Msikilize Ben pol hapa;
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.