Unknown Unknown Author
Title: OFFICIAL: YANGA YAMALIZANA RASMI NA HAMIS KIIZA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Sakata la usajili la mshambuliaji Uganda anayekipiga kwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania Dar Young African Hamisi Kiiza limefikia tamati ra...

clip_image003Sakata la usajili la mshambuliaji Uganda anayekipiga kwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania Dar Young African Hamisi Kiiza limefikia tamati rasmi baada ya Yanga na Kiiza kukubaliana kimsingi kuongeza mkataba mpya wa mshambuliaji huyo.
Kwa mujibu wa Hamis Kiiza ambaye nimekutana nae mapema leo ni kwamba anatarajia kusaini mkataba wa miaka miwili kabla hajaondoka kwenda kwao Uganda.
"Tumefikiana na klabu yangu - sasa nitaongeza mkataba na kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga msimu ujao. Baada ya kumaliza taratibu zote za kusaini mkataba mpya nitarudi nyumbani Uganda mara moja kabla ya kurudi kuja kujiunga rasmi na wenzangu kwenye pre-season," Kiiza alisema.

HABARI KWA HISANI YA SHAFIHDAUDA.COM

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top