MKUU WA MKOA WA LINDI AKAGUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI ZA NAMTAMBA NA MILOLA

clip_image002[6]Zahanati ya kijiji cha Milola Halmashauri ya Wilaya ya Lindiclip_image002[4]Solar Power System iliyopo kwenye Zahanati hiyo ya Kijiji cha Milola Halmashauri ya wilaya ya Lindiclip_image002Huduma ya Maji iliyopo hospitalini Hapo ni ya kisasa Kabisa.clip_image002[10]Akina Mama na watoto Zahanati ya Namtambaclip_image002[12]Jengo la Zahanati ya Namtamba lilipo Halmashauri ya wilaya ya Lindiclip_image002[14]Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ndugu Rodovic Mwananzila akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Namtamba wakati wa Ukaguzi wa Miradi ya Halmashauri ya wilaya ya Lindi akiwa amefuatana na Mkuu wa wilaya ya Lindi.clip_image002[16]Grace Mbaruku ded wa lindi naye alikuwepo katika Msafara huo wa ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo vijiji vya namtamba na Milola katika halmashauri ya Lindi

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post