Zahanati ya kijiji cha Milola Halmashauri ya Wilaya ya LindiSolar Power System iliyopo kwenye Zahanati hiyo ya Kijiji cha Milola Halmashauri ya wilaya ya LindiHuduma ya Maji iliyopo hospitalini Hapo ni ya kisasa Kabisa.Akina Mama na watoto Zahanati ya NamtambaJengo la Zahanati ya Namtamba lilipo Halmashauri ya wilaya ya LindiMkuu wa Mkoa wa Lindi Ndugu Rodovic Mwananzila akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Namtamba wakati wa Ukaguzi wa Miradi ya Halmashauri ya wilaya ya Lindi akiwa amefuatana na Mkuu wa wilaya ya Lindi.Grace Mbaruku ded wa lindi naye alikuwepo katika Msafara huo wa ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo vijiji vya namtamba na Milola katika halmashauri ya Lindi
Home
»
HABARI ZA KITAIFA
» MKUU WA MKOA WA LINDI AKAGUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI ZA NAMTAMBA NA MILOLA
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.