Unknown Unknown Author
Title: HUSSEIN ACHANA NA UKAPERA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mdau wa blog hii Hussein Makadaba akisain cheti cha Ndoa baada ya kufunga ndoa hiyo na kuachana na Ile timu yake sugu ya Makapela, Biharusi ...

clip_image002Mdau wa blog hii Hussein Makadaba akisain cheti cha Ndoa baada ya kufunga ndoa hiyo na kuachana na Ile timu yake sugu ya Makapela, Biharusi akifuatilia Kwa makini uwekaji sahihi huo, ndoa ilifungwa Mjini Dar es salaam.clip_image002[6]Kawa hahika Sherehe Ilipendeza, wadau walijitokeza kwa wingi kuwapongeza vijana hao kwa uamuzi wao wa kuachana na UKAPELA na Kuingia maisha ya Ndoa.

Blog Hii inawatakia Kila Lakheri Katika Safari yenu ya Maisha Ya pamoja,

MUNGU AWAONGOZE

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top