HUSSEIN ACHANA NA UKAPERA

clip_image002Mdau wa blog hii Hussein Makadaba akisain cheti cha Ndoa baada ya kufunga ndoa hiyo na kuachana na Ile timu yake sugu ya Makapela, Biharusi akifuatilia Kwa makini uwekaji sahihi huo, ndoa ilifungwa Mjini Dar es salaam.clip_image002[6]Kawa hahika Sherehe Ilipendeza, wadau walijitokeza kwa wingi kuwapongeza vijana hao kwa uamuzi wao wa kuachana na UKAPELA na Kuingia maisha ya Ndoa.

Blog Hii inawatakia Kila Lakheri Katika Safari yenu ya Maisha Ya pamoja,

MUNGU AWAONGOZE

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post