MCHEKI JAMAA ALIYEJICHORA TATOO YA RAMANI YA DUNIA MWILINI MWAKE

clip_image001Huyu jamaa amejichora tatoo ya ramani ya dunia nzima mgongoni kwake , nchi ambazo ramani yake inaonekana kukolea rangi ndio nchi ambazo huyu jamaa amewahi kutembelea ukiangalia kwa makini utaona kuwa ramani ya Tanzania ndio ramani pekee ambayo rangi yake imekolezwa kwa maana kwamba jamaa huyu amezuru ardhi ya bongo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post