Huyu jamaa amejichora tatoo ya ramani ya dunia nzima mgongoni kwake , nchi ambazo ramani yake inaonekana kukolea rangi ndio nchi ambazo huyu jamaa amewahi kutembelea ukiangalia kwa makini utaona kuwa ramani ya Tanzania ndio ramani pekee ambayo rangi yake imekolezwa kwa maana kwamba jamaa huyu amezuru ardhi ya bongo.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.